Na.
Omar Zongo
Wino huu uliomwagika umeandikwa Na yatima asiye Na baba wala mama!
Mwenye machungu ya kumbukumbu kila...
'Watu'
Kwa tabu sana Mzee alijisogeza juu ya kitanda nakulaza shingo yake kwenye mto.
Uchovu wa maradhi ulimdhoofisha vyakutosha,...
Tafakari Wengine
Muda mwingi hua unautumia kutafakari mazuri yako huku ukihitaji kusifiwa, hua unatamani kuongelewa wewe tu, unatamani...
Mpumbavu 'Shida'
Huna stara, vazi lako ni fedheha, aibu hata huna waadhirisha wazee.
Mpumbavu shida.
Wafanya mtu awe lofa penye sio aseme...
Nachora Picha
Hata kama sio mzuri kwenye kuchora lakini Leo naanza rasmi kuchora picha.
Picha ya kusisimua,
Picha yenye kupendeza,
Picha...

USIJIELEZEE SAAANA!
We jamaa!!
Umerudi home mapema kabla ya mpenzi wako, umekuta nguo zako Na za mkeo zimeanikwa nje!!
Umeamua kuanua ili...

This Iz My Sister
Na.
OMAr ZONGo
Hey niaje, naitwa Jayvny, kwetu tumezaliwa wawili tu, mimi na dada 'angu, yeye anaitwa Jackline.
Tumepishana...

Dunia ni jinsia Gani??
Nawaza natafakari, kichwani hoja lukuki!!!
Naugua na maswali dunia jinsia gani??
Yakike au kiume, dunia ni dini gani??...

Dear tomorrow
Mambo vipi?? Nataka kusema nawewe, imenilazimu kufanya ivo sababu ya hofu uliyoijenga kwa mdogo wangu Sam!
Maneno yake...

MASWALI Unayojiuliza
NA
Majibu niliyokuandalia!!
No1.
Nimesoma, nimemaliza nina vyeti smart sana!! Sasa kwanini sina kazi!??
Jibu lake:
Kwasababu...

Mchamungu Maskani
leo mcha Mungu
nimekuja maskani
umenizidi uchungu
namkemea shetani
enyi vijana wenzangu
twendeni ibadani
kwani wewe ninani
mbona...

MARIA & CONSOLATHA : KILELE CHA HUZUNI
Na.
Omar Zongo
Nimekaa juu ya kichuguu, katika kilele cha mlima wa huzuni, naangaza chini kutazama mandhari ya kijani...
UONGO WA MAMA 'ANGU
Ni Simulizi niliyoitohoa kutoka kwenye clip flani iv yakizungu.
Nimeweka Utashi wangu ili kufikisha ujumbe kama uliokuwepo...

ANDIKO TATA
Na.
Omar Zongo
Hili ni andiko Tata tena tupu, linalosindikizwa na ala ya simanzi!
Linajichora kwa kalamu ya ukiwa kwenye...

NIONE KABLA SIJAZIKWA @Sauti ya Akwi
Ijumaa tarehe 16 mwezi wa pili, 2018 Mpaka saa tatu usiku muda naenda kulala bado nilikuwa sijapata taarifa zozote kuhusu...

NIMEZAMA TOPENI
uvundo nausikia, karaha tupu puani.
tope hili madhara, afya yangu hatiani.
sinayo hamu yakula njaa ingali tumboni.
ninani...

ASANTENI KWA HISTORIA
"Zaidi ya miaka 50 tangu kufanyike mapinduzi matakatifu visiwani zanzibar, mapinduzi ambayo yamewaweka huru ndugu zetu visiwani...

NIMEPATA PESA
Na.
BinZongo
Shida shida sasa basi tayari ninazo pesa! Pesa nyingi za kuzidi sio zile za mawazo.
Nabadilisha mavazi,...
Subscribe to:
Posts (Atom)