SEHEMU YA KWANZA ''Ni kawaida kwa hadithi nyingi pendwa kuwa na sehemu ya kwanza na sehemu ya pili na nyengine nyingi zenye mfululizo wa visa vya kusisimua, lakini ukweli wa mambo ni kuwa hali ni tofauti katika mapenzi, Hadith ya mapenzi inayonoga zaidi ni ile ya sehemu ya kwanza, ukiiharibu kwa kudhani kuwa utapata sehemu ya pili ni kosa kubwa sana ni sawa na ufa usioweza kurekebishika'' HII HADITH HAINA JINA INAITWA SEHEMU YA KWANZA NA SEHEMU YA PILI..... NI KISA CHA MAPENZI ..... Na Bin Zongo Mapenzi yamekolea hakuna aliyeona kero kwa mwenzie, kila mmoja anaishi kwa amani na hutabasamu kila wakati akikumbuka uwepo wa mwenzake. marafiki zao walikuwa wanawaona machizi mana walipokuwa mbalimbali kila mmoja alikuwa busy na simu yake akichart na mwenzake nakucheka cheka kila saa kama chizi mpya aliyepelekwa kituoni kwa matibabu. mapenzi yao yalikuwa yanavutia kama mapenzi ya kitabuni, yalifanya kila mmoja kati yao aone thamani yakuzaliwa kwake, nafs...
Comments
Post a Comment