SHEMEJI WA.COM

'Shairi lifuatalo ni utenzi wakubuni haujaakisi tukio wala kisa chakweli kutoka kwenye jamii, utenzi huu unaakisi hali ya maisha yalivyo kwa sasa na undugu usivyo na thamani katika mapenzi' Na. BIN ZONGO alinifata chumbani muda natoka kuoga akanivaa mauongoni ukanitawala woga nguo kazitupa chini shemeji wa dot.com kaka yako hayupo kasafiri kitambo shemeji jilie vyako usizilete Tambo nina haja mwenzako shemeji wa dot.com ndani mimi nawewe wengine hawatajua shemeji haki nipewe nateseka wajua nataka nishughulikiwe shemeji wa dot.com butwaa lanipumbaza naota ama nikweli kichwani najiumiza niache au nikubali shetani kampumbaza shemeji wa dot.com umbo lake namba mtupu maungo yake kaidondosha khanga aibana sauti yake dhamira kaipanga shemeji wa dot.com hatunazo tena nguo nikama tumezaliwa ni lipi langu chaguo shemeji asisitizia nasita kusema sio shetani kasimamia shemeji wa dot.com anivuta kitandani naanza kujilaumu kuna mtu mlangoni...